• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Usafi na Mazingira

UTANGULIZI.

Idara ya Usafi na Mazingira ni moja kati ya Idara zinazounda halmashauri ya Wilaya ya Kilosa. .Jukumu kubwa la Idara ni pamoja na usimamizi wa shughuli za Usafi  na uhifadhi wa Mazingira kwa lengo la kudhibiti na kuzuia kuenea kwa magonjwa yatokanayo na uchafu na kudhibiti uharibifu wa Mazingira.Hii ni katika kuboresha ustawi wa jamii ili kuleta maendeleo kwa wananchi.

KAZI ZA IDARA.

  • Kusimamia Usafi wa Majengo, Maeneo ya Wazi, Barabara na Mifereji.
  • Kusimamia na kuratibu Usafirishaji, Uchambuzi na Utupaji wa taka ngumu katika eneo rasmi (Dampo)
  • Kusimamia utekelezaji wa sheria zinazohusu Afya ya mazingira.
  • Kusimamia udhibiti wa uchafuzi wa mazingira, Ardhi, Maji, Hewa na Sauti katika makazi.
  • Kusimamia utunzaji wa Mazingira na upandaji wa Miti na upendezeshaji wa Mazingira
  • Kufanya tathimini ya athari za Mazingira katika shughuli mbalimbali za maendeleo.
  • Kukusanya na kuchambua takwimu za Afya ya Mazingira.
  • Kuelimisha jamii juu ya mbinu za kujikinga na kupambana na magonjwa ya mlipuko.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Wazazi hakikisheni watoto wanapata elimu

    January 30, 2023
  • Wazazi hakikisheni watoto wanapata elimu

    January 30, 2023
  • Wafugaji watakiwa kufuga kwa tija

    January 27, 2023
  • Kilosa kunufaika na mradi wa BOOST

    December 24, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa